NANI ZAIDI KASEBA NA MASHALI?LEO NDO LEO PTA..

Posted by Bernard James on 1:37 AM with No comments
Bondia Japhet Kaseba akiinua mikono juu wakati wa kupima uzito kwa ajili ya pambano lake la ubingwa wa Taifa, uzito wa Middle dhidi ya Thomas Mashali kushoto litakalofanyika Ukumbi wa PTA, Sabasaba, Dar es Salaam LEO..