MTUHUMIWA WIZI PIKIPIKI ACHOMWA MOTO

Posted by Bernard James on 11:48 AM with No comments
Kijana mmoja asiyefahamika jina ameuawa kwa kuchomwa moto na wananchi wenye hasira wilayani Ilemela hivi leo huku akituhumiwa kuiba pikipiki kabla ya kuangukia mikononi mwa wananchi wenye hasira..Katika tukio hilo,jeshi la polisi limewataka wananchi kutojichukulia sheria mikononi...