UVUVI HARAMU KUFIKA KIKOMO..

Posted by Bernard James on 5:08 AM with No comments
Wadau wa sekta ya uvuvi kanda ya ziwa wamekutana hapo jana jijini Mwanza kujadili namna ya kudhibiti matendo yote ya uvuvi usiofuata utaratibu....wamesema kwa kauli moja aina hiyo ya uvuvi imepata muarobaini wa uhakika....wamesema sheria kali zimewekwa ikiwemo ile ya vifungo,faini ama vyote kwa pamoja...wamebainisha kuwa chanzo kikubwa cha tatizo hilo ni siasa ambapo wanasiasa wamekuwa wakiwahamasisha wapiga kura wao kutoacha aina hiyo ya uvuvi..madhara ya aina hii ya uvuvi hasa matumizi ya nyavu zisizo na viwango,matumizi ya sumu na mabomu ni pamoja na uchafuzi wa ziwa,kuua mazalia ya samaki na viumbe vingine vya majini,kusababisha magonjwa hasa ya matumbo kwa binadamu,vifo n.k....mkutano huo wa wadau umehisaniwa na TAFU,TAFIR...