JKT MBWENI KUIBUKA KIDEDEA LEO?
Posted by Bernard James on 2:07 AM with No comments
Wawakilishi pekee wa Tanzania katika michuano ya netiboli ya klabu bingwa Afrika Mashariki JKT MBWENI leo inatarajiwa kuibuka mabingwa wa michuano hiyo baada ya kuifunga Prisons ya Uganda mabao 35-33.Timu hiyo itacheza na mabingwa watetezi NIC kutoka Uganda ambao waliibabajua Moict kutoka Kenya kwa mabao 49-32....KILA LA HERI JKT MBWENI..
0 comments:
Post a Comment