mimi ni mwanamuziki,si mwanasiasa
Posted by Bernard James on 9:44 AM with No comments
huku akijisifia kufuatia kualikwa na rais robert mugabe kufanya onyesho nchini zimbabwe katika harusi ya binti wa rais huyo,koffi olomide amesema uwezo wake mkubwa kimuziki ndo sababu ya kualikwa...mwamba huu kwa sasa unajivunia album ya abracadabra na singo ya mwaka 2013 yake na cyind iitwayo koffi central...
0 comments:
Post a Comment