mgogoro wa tanzania na malawi utamalizwa kwa kuweka mipaka ziwa nyasa...

Posted by Bernard James on 11:40 PM with No comments
joaquim chissano,rais wa zamani msumbiji,mkuu wa chissano foundation na mkuu wa jopo la marais watatu wastaafu wanaotafuta mbinu za kuumaliza mzozo baina ya nchi hizo,kasema hili litakuwa suluhisho la kudumu..ameyasema haya katika kikao cha viongozi hao..kikao kingine kitafanyika mwezi may baada ya uchaguzi nchini malawi..